Precio no especificado
Ufunguo wa maisha ya kiroho yenye raha Product Information Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»: Gundueni Amri Kumi za Mungu zilizofafanuliwa katika usemi wa siku hizi na pia maelezo kuhusu Mafundisho ya Yesu Mlimani iliyofunuliwa na Kristo mwenyewe kupitia Gabriele, nabii na mjumbe wa Ufalme wa milele. Ni maadili ya ulimwenguni pote isiyotegemea dini na inayomlenga kila mmoja aidhuru utamaduni wake. Jaribu mwenyewe, ikiwa inawezekana, kubadili maisha yako.Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu. Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli. «Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho. Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi».«Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.» Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadam. Gabriele Publishing Article Nr.: G304sw 16 pages, brochure 16 pages € 0,00 Bure For people of all cultures worldwide: cs, el, en, es, fr, hu, it, kr, pl, pt, ro, ru, sk, sl, sk, sv, tr and much more languages Newsletter: Subscribe to our free newsletter and keep up with the latest news! You can unsubscribe anytime. https://gabriele-publishing.com/
Publicado por Editorial Gabriele el 12/7/2026